Psalms 135:10-12


10 aAliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:

11 bMfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:

12 cakatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.

Copyright information for SwhKC